Basi la wachezaji wa Barcelona likipita katikati ya mashabiki mitaa ya Barcelona jana baada ya ushindi wa taji la 25 la La Liga kufuatia kuichapa mabao 4-2 Deportivo La Coruna juzi na kujibebea taji la pili Hispania msimu huu kufuatia awali kunyakua Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey.